KINGAZI BLOG: 04/18/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Tuesday, 18 April 2017

Ripoti ya CAG Yazidi Kuiaibisha Serikali ya Magufuli..Yaanika Madudu Mengine Katika Sakata la Gesi Asilia ya Mtwara..!!!

RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2015/16 iliyowasilishwa bungeni mjini hapa Alhamisi, imebaini udhaifu katika mradi wa bomba la usafirishaji gesi asilia kati ya Mtwara na Dar es salaam. CAG, Prof. Mussa Assad, katika ripoti yake alisema matumizi ya bomba hilo yapo chini ya kiwango na wateja wa gesi asilia hulipa bei inayofanana ilihali wapo umbali tofauti. Mengine...

Askari wa JWTZ auawa kwa kuchomwa visu na vibaka

ASKARI wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi (JWTZ), MT 94293, aliyefahamika kwa jina la Tekeli Israel (29), ameuawa kwa kuchomwa kisu kifuani na watu wanaodaiwa kuwa ni vibaka.  Akithibitisha kuuawa kwa askari huyo jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Charles Mkumbo, alisema tukio hilo lilitokea juzi, saa nne usiku, wakati marehemu, ambaye ni mkazi wa Mbaunda, alipokuwa akitoka kula chips.  Alisema...

TUNAKULETEA MFULULIZO WA UIBUAJI WA UBADHILIFU MKUBWA WA FEDHA KATIKA MIRADI MBALI MBALI YA MAENDELEO KUTOKA KWA MKAGUZI NA MDHIBITI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG)

1..Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Aibua Ubadhirifu wa Kutisha Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) UBADHIRIFU wa kutisha unaohusisha mabilioni ya fedha, umefichuliwa kwenye Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), ukihusisha uongozi, wafanyakazi, watoa huduma na wazabuni.  Wanaodaiwa kuhusika na utafunaji wa mabilioni hayo, walitumia mabadiliko mapya ya usajili wa...

Kimenuka!!!Kikosi hatari cha US NAVY 'SEAL' chatua rasmi Korea Kasikazini tayari kwa Mapambano.

NI wazi kuwa jaribio lilifanywa na Korea Kaskazini la Makombora yake ya Nukria  limeshtua  Marekani ambapo sasa ni rasmi Kikosi hatari cha Makomandoo wa Kimarekani ambacho ndicho "The Most Feared Force" katika ulimwengu huu cha US NAVY SEAL inasemekana tayari kiko katika Peninsula ya Korea tangu Jana usiku kikitokea jimbo la Florida nchini Marekani. Hiki ni kikosi hatari zaidi duniani...

Habari ya Waziri Mwakyembe Yaliponza Gazeti la Mwanahalisi..Yadaiwa ilitungwa na Mwandishi !!

Katika toleo namba 387 la Jumatatu April 17-23, 2017 gazeti la MwanaHalisi katika ukurasa wake wa kwanza lina habari isemayo: “Mwakyembe: Maisha Yangu Yako Hatarini.”   Habari hiyo inadai kuwa Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe ambaye ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo hayuko huru na maisha yake bado yapo hatarini, taarifa ambayo imemshtua na kumhuzunisha sana Waziri kwa uzushi,...

CAG: Mkataba wa Mlimani City na Chuo Kikuu cha UDSM ni Wizi Mtupu..!!!

RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), imeanika madudu ya mkataba wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kwenye mradi wa Mlimani City. Madudu hayo yanaonyesha namna chuo hicho kinavyopoteza mamilioni ambako amependekeza mkataba huo ufanyiwe marekebisho. Kwa mujibu wa ripoti hiyo iliyowasilishwa bungeni hivi karibuni, ujenzi wa mradi wa Mlimani City ulianza Oktoba Mosi mwaka...

Snura Ajipanga Kumuanika Mpenzi Wake

DAR ES SALAAM: Staa wa mduara Bongo, Snura Mushi ‘Snusexy’ amefunguka kuwa, baada ya ukimya wa muda mrefu na kuzushiwa kila mwanaume, sasa anajipanga kumuanika laazizi wake ili watu wamtambue kwani usumbufu umekuwa ‘too much’. Snura aliliambia Wikienda kuwa, ishu ya kuambiwa mara anatoka na mtu fulani, mara na Mwarabu ni suala linalomsababishia usumbufu hivyo mashabiki wake wakae mkao wa kula kwani...
 

Gallery

Popular Posts

About Us