KINGAZI BLOG: 04/03/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Monday, 3 April 2017

9 pictures : Corazon Kwanboka is one of Kenya’s most curvaceous model and socialite. See more photos of her below..

Corazon Kwanboka is one of Kenya’s most curvaceous model  and socialite. See more photos of her below.. ...

MAAJABU YA MWAKA HAYA ....Jamaa anayeatamia mayai ya kuku Ufaransa

Msanii kutoka Ufaransa Abraham Poincheval anaendelea kuatamia mayai ya kuku akiwa na matumaini kwamba  yataangua vifaranga. Jamaa anatumia joto kutoka kwenye mwili wake kuatamia mayai hayo 10. Poincheval ambaye hufanya uigizaji wa kuigiza mambo ya ucheshi lakini ya hatari alishahi kuishi wiki mbili ndani ya dubu na mengine mengi ya kushangaza. Jamaa atakuwa katika chumba maalum ambacho...

Kampuni ya The Guardian Inayochapisha Magazeti ya Nipashe Imetoa Tamko Hili Kuhusu Taarifa za Kufilisika kwake.

Kampuni ya uchapishaji magazeti The Guardian Limited ambayo huchapisha magazeti ya The Guardian, Nipashe na Lete Raha, imekanusha taarifa za uzushi zilizosambaa mtandaoni kuwa inaifunga kutokana na ukata. Hii ni taarifa yake: Taarifa hiyo ya uzushi ilisema: Management ya The Guardian Chini ya General Manger, Ndg Srinivas imewatangazia wafanyakazi wa IPP- The Guardian kusudio la kufunga kampuni...

Aliyetumbuliwa na Rais Magufuli Dk Mwele Malecela Ateuliwa Kuwa Mkurugenzi Shirika la Afya Duniani (WHO)..!!!

Salamu za pongezi zimeendelea kumiminika kwa aliyekuwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (Nimr), Dk Mwele Malecela baada ya kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Vituo vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika vya Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika. Pia, Dk Mwele  aliteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Mpango wa Maalumu wa WHO wa kutokomeza magonjwa yasiyopewa kipaumbele...

Jinsi Ya Kumshawishi Mwanamke Mtandaoni na ukaweza kumpata kiurahisi zaidi

Kama kuna sehemu moja hapa duniani ambayo unaweza kujiachilia na kuwa wewe mwenyewe na kupata wanawake wakupende, bila shaka hio sehemu ni mtandaoni. Hii ndio sababu kuu ya wanaume wengi kujiingiza katika Internet ili kujaribu mizare yao ya kuwavutia na kuwashawishi wanawake sikuhizi. Habari njema ni kwamba wanaume wengi hufanikiwa katika azma yao. Kuingia katika mitandao ya kijamii na...

Habari katika Magazeti ya leo tar 3 April 2017

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us