KINGAZI BLOG: 09/25/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Sunday, 25 September 2016

MAGAZETI YA TANZANIA LEO JUMAPILI SEPT 25

...

Wema Sepetu Afunguka Maneno Mazito 'Idris ni Katuni'

Kweli ya kale hayanuki! Ndivyo unavyoweza kusema kwani licha ya Idris Sultan kuwahi kuwa mpenzi wake na Bongo nzima kuitambua kapo yao, mrembo Wema Sepetu ‘Madam’ amethubutu kusema kuwa zilipendwa wake huyo kuwa ni sawa na katuni. Wema alifunguka hayo hivi karibuni katika mahojiano maalum aliyoyafanya na mwandishi wetu ambapo alipoulizwa mtazamo wake kuhusu Idris kutembea na staa wa Bongo Fleva,...

MSANII VANESSA MDEE AFUNGUKA JUU YA KOLABO YAKE NA TREY SONGZ

Ni Headlines za Vanessa Mdee ambae amekuwa ni moja kati ya wasanii wa Africa waliochaguliwa kurekodi wimbo na mshindi wa Grammy na mwimbaji wa RNB nchini Marekani, Trey Songz kupitia msimu wa 4 kipindi cha Coke Studio Africa. Akizungumza na millardayo.com & Ayo TV  Vanessa Mdee aliyaongea haya: Niko Kenya nikifanya msimu wa Coke Studio Africa ambapo msimu huu tumemkaribisha msanii wa kimarekani...
 

Gallery

Popular Posts

About Us