
Katika pitapita zangu katika mitandao na baadhi ya kazi zangu mtandaoni, nilikumbana na hili chapisho ambalo niliingiwa na hamu ya kuliweka hapa ili kuwajulisha umuhimu wa kufanya mapenzi na mpenzi wako. Chapisho lenyewe hili hapa:
"Tendo La Ngono Litakufanya Uwe Mjanja, Utafiti Waonyesha
Kuna watu watatetea kuwa tendo la ngono ni kama baraka kutoka kwa Mungu, ni dawa ambayo haijawahi kutokea kamwe....