KINGAZI BLOG: 09/19/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Monday, 19 September 2016

Uangaliaji Wa Filamu Za Ngono Huharibu Akili Yako

Katika pitapita zangu katika mitandao na baadhi ya kazi zangu mtandaoni, nilikumbana na hili chapisho ambalo niliingiwa na hamu ya kuliweka hapa ili kuwajulisha umuhimu wa kufanya mapenzi na mpenzi wako. Chapisho lenyewe hili hapa: "Tendo La Ngono Litakufanya Uwe Mjanja, Utafiti Waonyesha Kuna watu watatetea kuwa tendo la ngono ni kama baraka kutoka kwa Mungu, ni dawa ambayo haijawahi kutokea kamwe....

MASHAMBULIO MATATU YA KIGAIDI YATOKEA MAREKANI NDANI YA SAA 24

Jumapili na Jumamosi kumetokea mashambulio matatu katika ardhi ya Marekani – bomu lililolipuka Manhattan, watu kuchomwa kisu huko Minnesota na bomu kulipuka kwenye bomba la maji huko New Jersey. Kuna uhusiano mkubwa na tukio la kigaidi huku watu watano wakikamatwa New York. Bomu lililolipuliwa makusudi huko New York limejeruhi watu 29. Mamlaka zimedai kuwa hakuna ushahidi iwapo matukio hayo yalikuwa...

Magazeti ya Leo Jumatatu 19 September 2016..

...

Official VIDEO | Diamond Platnumz Ft. Rayvanny Salome ( Traditional ) | Watch/Download

...

Aliyeng’atwa ulimi Wakati Akipigana Denda na Mwanamke Ahofia Kuachwa na Mchumba Wake

Kijana Saidi Mnyambi (26) anayedaiwa kung’atwa 1/3 ya ulimi wake wakati wakinyonyana ulimi na mwanamke mmoja, ameingiwa na hofu kuwa mchumba wake anaweza kumwacha kutokana na kitendo hicho. Kijana huyo mkazi wa Unyankhae, Manispaa ya Singida, aliyasema hayo juzi hospitalini alikolazwa . Alisema hofu aliyonayo inachangiwa kwa kiasi kikubwa na tukio hilo kuwa gumzo kubwa ndani na nje ya Singida.  “Kabla...
 

Gallery

Popular Posts

About Us