KINGAZI BLOG: 09/01/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Thursday, 1 September 2016

TUKIO KUPATWA KWA JUA KATIKA BAADHI YA SEHEMU HAPA TANZANIA

Hii ndio halisi halisi ya hewa kupatwa kwa jua huko  katika mikoa ya njombe Lujewa na baadhi ya maeneo nchini Tanzania. hizi in picha kutoka maeneo mbalimbali huko mkoani Mbeya na lujewa huku pia watu wakishangaa hali ya jua inavyozidi kubadilika ghafla!!! ...

Msajili amlima Barua Maalim Seif kuhusu sakata la Lipumba

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya siasa nchini imemuandikia barua Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad kufuatia mvutano wa kusimamishwa uanachama aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba. Hatua hiyo imefikiwa baada ya Profesa Lipumba kumuandikia barua Msajili wa vyama vya siasa nchini, Jaji Francis Mutungi akilalamikia kusimamishwa uanachama bila kufuata...

MCT yampongeza Rais Magufuli vita ya rushwa

BARAZA la Habari Tanzania (MCT) limeipongeza serikali ya Rais John Magufuli kwa jitihada zake za kupambana na rushwa pamoja na ubadhirifu na kusema inapaswa kuungwa mkono na kila mmoja na pia vyombo vya habari. Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga alitoa pongezi hizo jana wakati wa Mkutano Mkuu wa 18 wa Baraza hilo uliofanyika jijini Dar es Salaam. Mukajanga alisema kwa kuwa vyombo vya habari...

Magazeti ya Leo Septemba 1, 2016

...

Vanessa amwandikia ujumbe mzito mpenziwe Jux kwenye birthday yake

Mara nyingi mtu wako wa karibu anapokuwa anasherehekea siku yake ya kuzaliwa, ni muhimu kumpa ujumbe muhimu kuonesha jinsi alivyo na maana kwako. Vanessa Mdee ametumia siku ya kuzaliwa ya mpenzi wake, Jux kumwandikia ujumbe muhimu kudhihirisha ni kwa kiasi gani anampenda. Ametumia pia fursa hiyo kuutaja wimbo wao wa pamoja, Juu. Usome: When we first met I was an upcoming songstress with...

WABUNGE WAIBANA BODI YA MIKOPO (HELSB) KWA KUONGEZA POSHO

Wabunge wameibana Bodi ya Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HELSB) kwa kuongeza posho na kufikia jumla ya Sh1 bilioni katika kipindi kifupi kiasi ambacho hakilingani na kazi wanayoifanya.  Kwa kipindi kirefu, bodi hiyo imekuwa ikitupiwa lawama kwa kuchelewesha mikopo, kushindwa kukusanya fedha za wanafunzi waliokopa na kutoa mikopo kwa wanafunzi hewa. Hivi karibuni, Waziri...

Donald Trump: Mexico will pay for wall, '100%'

Jump media player Media player help Out of media player. Press enter to return or tab to continue. Media captionTrump left open the possibility that millions of undocumented immigrants could be deported. He told a cheering crowd in Arizona that he would secure the border, and left open the possibility that millions of illegal immigrants be deported.US Republican presidential candidate Donald Trump has insisted Mexico will pay for a border wall "100%", in a major immigration speech...

Scholarships tenable in Mexico for the year 2017

This is scholarship chances for the student who finshed advanced level , May 20...

Tahadhari dhidi ya Taarifa za uongo kuhusu kutangazwa kwa Orodha ya wanafunzi waliodahiliwa kwa mwaka wa masomo 2016/2017

 ...

Bongo flavor Female celebrity shilole has left her fans Mouth open after catching her private front place

Bongo Celebrity Shilole had surprise her fans during her Ti go fiesta 2016 Performance, by catching her front private place on her Body, many of her fans where shouting and tell shilole that she should give it to them hahah. this was so lovely as we know that shilole is one among the greatest Female musician in Tanzania who has a full of Dramas and scanda...
 

Gallery

Popular Posts

About Us