KINGAZI BLOG: 04/17/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Monday, 17 April 2017

Kutana na Harnaam Kaur..Mwanamke Mwenye Ndevu Nyingi Zaidi Duniani..!!!

AKIWA mwalimu wa shule ya msingi na mwanamitindo, Harnaam Kaur aliingia katika Kitabu cha Rekodi za Dunia (Guinness World Records) kuwa mwanamke mdogo duniani mwenye ndevu nyingi zaidi. Kaur (24), aliweza kukabiliana na changamoto za miaka mingi za hali aliyo nayo ikiwamo kejeri, kebehi, zomea zomea  na kila aina ya maneno mabaya hadi kufanikiwa kujiamini na kukomaa na nywele zake hizo za usoni. Aliingia...

Hatari !! Mwanaume aliyefanya mauaji huku Akionyesha Live Marafiki zake Kupitia Facebook asakwa

Steve Stephens muuaji anayesakwa Marekani Polisi katika jimbo la Ohio nchini Marekani wanamtafuta mtu anayedaiwa kufanya mauaji,huku akionyesha moja kwa moja mauaji hayo kupitia mtandao wa Facebook. Maofisa katika mji wa Cleveland wamesema kuwa Steve Stephens anaonekana akionyesha moja kwa moja mauaji wakati akimpiga risasi mwanaume mmoja mtu mzima kupitia Facebook. Mkuu wa Polisi mjini Cleveland...

Baada ya Kumsimamia Roma..Mwakyembe Adai Maisha Yake Yapo Hatarini..Habari Vichwa vya Magazeti ya Leo 17/4/2017..!!!

...

Baada ya Kula Ujana Vyakutosha..Aunty Lulu Sasa Kuimba nyimbo za injili.

BAADA ya maisha ya ujana yenye kila aina ya uchafu hatimaye msanii na Mtangazaji Lulu Semagongo maarufu kama Aunty Lulu, amesema anajiandaa kuimba nyimbo za Injili zitakazozungumzia maisha yake ili watu wengine wajifunze. Aunty Lulu alisema nyimbo zake zitabadilisha maisha ya watu wengi kwani ujumbe utakaokuwemo ndani yake utazungumzia mambo mengi ambayo amepitia katika maisha yake. “Najiandaa kuimba...

Kali ya Mwaka!!! huyu ndiye jamaa aliyetua Mahakamani kuwashtaki waisraeli kwa Mauaji ya Yesu.

Dola Indidis ni mwanasheria kutoka Kenya aliyeishtaki Israel kwa kumuua Yesu). nadai hakuipeleka kesi mahakamani kwa misingi ya kidini bali kwa misingi ya Kisheria. Anasema "Its academic thing not a theological thing" Yeye anachoangalia si unabii bali legal procedure.  Pia amesisitiza ameamua kumtetea Yesu kama mtoto wa Yusufu (fundi seremala) na sio Yesu kama Masihi "I look Jesus as son of...

Rais Magufuli Aagiza TCU kuacha kuchagulia vyuo wanafunzi

Rais John Magufuli ameiagiza Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kutowachagulia vyuo wanafunzi wa elimu ya juu na kuwaacha wanafunzi hao kuchagua vyuo wanavyovitaka wenyewe. Kauli hiyo ilitolewa jana jijini Dar es Salaam na Rais Magufuli alipokuwa akizindua mabweni ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) ambapo alikitaka chuo hicho pia kutoza Sh 500 kwa siku tofauti na Sh 800 ambazo zinatoswa...
 

Gallery

Popular Posts

About Us