BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI
...
Saturday, 1 April 2017
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UTEUZI WA WAOMBAJI WA UDAHILI WA KOZI ZA ASTASHAHADA (CHETI) NA STASHAHADA (DIPLOMA) KWA AWAMU YA MACHI/APRILI, 2017 KWA MWAKA WA MASOMO 2016/2017
Published Under
BREAKING NEWS
SHARE!
VIDEO: ‘Tunataka tujue kama tunaibiwa, tumeibiwa kiasi gani?’-Rais Magufuli
Published Under
KITAIFA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 01 Aprili, 2017 amewaapisha wajumbe wa Kamati Maalum ya kuchunguza kiwango na aina ya madini yaliyomo kwenye mchanga wenye madini uliomo ndani ya makontena yaliyopo katika maeneo mbalimbali hapa nchini.
Kamati hiyo ya Wanasayansi 8 walioteuliwa na Rais Magufuli tarehe 29 Machi, 2017 inaongozwa na Mwenyekiti wake...
SHARE!
VIDEO: Yule Mtoto mwenywe uwezo wa kujibu maswali papo kwa papo kataja timu na viongozi
Published Under
TOP STORIES

Ikiwa ni siku chache zimepita tangu mtoto Aithamu ataje majina ya viongozi walioteuliwa kufuiatia mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri hususani wizara ya habari,utamaduni,sanaa na michezo na wizara ya sheria na katiba,leo ameelezea jinsi alivyofahamu mabadiliko hayo.
Aitham ambaye ni mzaliwa wa manispaa ya Bukoba mkoani Kagera ametaja pia timu anazozipenda ikiwa ni pamoja na mtangazaji...
SHARE!
Hii ndiyo Idadi ya mimba alizotoa mwanadada Linah
Published Under
TOP STORIES

March 31 2017 kupitia kipindi cha The weekend chat show Msanii wa Bongo fleva Linah Sanga amekiri alishawahi kutoa mimba takribani mbili kabla ya hii aliyonayo sasa hivi na anategemea kujifungua hivi karibu.
Linah amesema anajutia hilo na sababu iliyompelekea kutoa mimba hizo ni kwa sababu alikuwa anamuhofia baba yake kwakuwa hakuwa ameolewa na kudai baba yake alisha watahadharisha juu ya kubeba...
SHARE!
Wakubwa (18+)MAJANGA.....HAWA NDIO MASTAA WA MAREKANI WANAOONGOZA KWA KUTUPIA PICHA ZA NUSU UTUPU KWENYE MTANDAO WA INSTAGRAM
Published Under
TOP STORIES

Mastaa hawa huutumia mtandao wa Kijamii wa instagramu kuonyesha zaidi maungo yao na zisizo na maadili kuliko chochote, kuna wakati Mtandao huu ulifikia hatua ya kuwafungia akaunti zao lakini ndio kwanza wanazidi kufungua account mpya,Tabia hii ya kutupia picha za nusu uchi mtandaoni imekuwa ikishabikiwa sana na watu wengi kutoka pande zote za dunia hali inayopelekea kuweza kufahamika zaidi...
SHARE!
Kumekucha! Bifu la Watangazaji wa Shilawadu na RC Makonda lafikia patamu na limenoga sasa
Published Under
TOP STORIES
Wakiwa katika Kipindi chao ambacho kilikuwa mubashara kabisa Mtangazaji muongozaji wa Kipindi pendwa na Watanzania wengi hadi Mheshimiwa Rais wetu JPM aitwae Soud Brown amekuwa kila mara akifumba Fumbo huku akicheka mno na mwenzake Kwissa.
Ukiwaangalia zaidi utagundua kuwa kwa yale yaliyowatokea wiki mbili zilizopita utagundua kuwa Kipindi chao Kizima cha leo ni kama vile na wao wameamua...
SHARE!
TAARIFA KUTOKA NACTE KUHUSU KUFUNGULIWA KWA MFUMO WA PAMOJA WA UDAHILI KWA KIPINDI CHA MACHI / APRILI, 2017
Published Under
BREAKING NEWS
BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI
(NACTE)
TAARIFA KWA UMMA
KUFUNGULIWA KWA MFUMO WA PAMOJA WA UDAHILI KWA KIPINDI CHA MACHI/APRILI, 2017 KWA MWAKA WA MASOMO 2016/2017
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE), linapenda kuutangazia Umma na wadau wote wa Elimu nchini, kuwa mfumo wa Udahili wa pamoja yaani “Online Central Admission System (CAS)”, umefunguliwa...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)