KINGAZI BLOG: 12/04/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Sunday, 4 December 2016

Majivu ya mwili wa Fidel Castro yazikwa Santiago Brazil

Majivu ya mwili wa Fidel uliochomwa yasafirishwa katika maziko mjini Santiago Jivu la aliyekuwa rais wa Cuba Fidel Castro limezikwa katika kiunga cha makaburi mjini Santiago, na hivyo kumaliza siku tisa za maombolezo ya kitaifa nchini Cuba. Familia na wageni wachache walialikwa katika shughuli hiyo ya faragha, iliyofanywa karibu na makumbusho ya shujaa wa uhuru wa Cuba, Jose Marti. Hapo jana, rais...

Rais Dkt Magufuli afanya uteuzi wa mabalozi Wapya 21

December 03 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amefanya uteuzi wa Mabalozi 15 ili kujaza nafasi zilizo wazi katika Balozi za Tanzania zilizopo katika nchi mbalimbali.   Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa Mabalozi hao wameteuliwa kwa ajili ya kuiwakilisha Tanzania katika vituo vifuatavyo; Beijing – ChinaParis...

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumapili Ya Disemba 4

...

HEBU ONA VIDEO CHAFU YA SHILOLE NA MPENZI WAKE MPYA ALIYOVUJISHA YEYE

SH...
 

Gallery

Popular Posts

About Us