
Majivu ya mwili wa Fidel uliochomwa yasafirishwa katika maziko mjini Santiago
Jivu la aliyekuwa rais wa Cuba Fidel Castro limezikwa katika kiunga cha makaburi mjini Santiago, na hivyo kumaliza siku tisa za maombolezo ya kitaifa nchini Cuba.
Familia na wageni wachache walialikwa katika shughuli hiyo ya faragha, iliyofanywa karibu na makumbusho ya shujaa wa uhuru wa Cuba, Jose Marti.
Hapo jana, rais...