KINGAZI BLOG: 01/19/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Thursday, 19 January 2017

‘Scorpion’ mwingine aibuka Sinza DSM, anajiita Van Damme

Leo January 19 2017 kupitia Leo tena ya clouds FM Mtangazaji Geah Habib ametuletea hekaheka kutokea mitaa ya Sinza makaburini Dar es salaam. Hekaheka hiyo ni kuhusu jamaa ambaye amekuwa akifanya matukio ya uhalifu ikiwemo kuchukua mali za watu kibabe kama vile simu, jamaa huyo anajiita ‘Van Damme’. Wananchi wa eneo hilo wamesimulia kuwa ‘Van Damme’ akifika maeneo hayo maduka yanafungwa na madereva...

Kajala Masanja akanusha binti yake kuharibikiwa kimaadili, ni baada ya video ya Ngono kusambaa mtandaoni

Katika mitandao mbalimbali ya kijamii ipo video iliyosambaa ambayo inamuhusu binti mdogo wa chini ya miaka 18 akifanya mapenzi na mtu mzima ndani ya Gari. Awali ilisemekana kuwa katika video hiyo binti aliyeonekana ni Paula Paul ambaye ni mtoto wa staa wa filamu Kajala Masanja hali ambayo ilimfanya muigizaji huyo kukanusha uvumi huyo. Muigizaji huyo kupitia instagram ameandika:"Hey everyone….jamani...

Chuo kikuu cha Marekani chaanzisha kozi maalum inayohusu maisha ya Kanye West

Kozi mpya ya Washington University huko St. Louis, Marekani, itakuwa ikiangaza ulimwengu wa Kanye West. Imeripotiwa kuwa, wanafunzi 75 wamejiandikisha kusoma kozi hiyo iitwayo, “Politics of Kanye West: Black Genius and Sonic Aesthetics” ambayo imeanza kufundishwa wiki hii. Profesa Jeffrey McCune wa chuo hicho, anasema kozi hiyo imejikita katika maisha ta rapper na producer huyo na inalenga kuwasaidia...

Maiti iliyozikwa na Kisha Baadae Kukutwa Iko Nyumbani Kitandani Yazikwa Tena Chini Ya Ulinzi Mkali wa Polisi

Maiti ya mtoto Haruna Kyando (9) ambayo ilikutwa nyumbani muda mfupi baada ya wananchi kutoka makaburini kumzika, imezikwa kwenye makaburi ya Isanga chini ya ulinzi wa askari wa Jeshi la Polisi nchini, huku waombolezaji wakiaga mwili huo kwa kufunuliwa jeneza eneo la kichwani makaburini hapo. Aidha, Mchungaji wa Kanisa la Bonde la Baraka, ameingizwa lawamani kwa kupotosha umma. Haruna aliyekuwa...
 

Gallery

Popular Posts

About Us