Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mkoani Pwani Ridhiwani Kikwete, amefunguka kuhusu sakata la dawa za kulevya na kuipongeza serikali hususani Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kwa kuanzisha vita hiyo na kutaka wahusika wachukuliwe hatua.
Kikwete amefunguka hayo leo katika kipindi cha East Africa Breakfast cha EA Radio, kinachoruka kila siku saa 11:00 alfajiri hadi saa 3:00 asubuhi.
Ametumia nafasi...
Wednesday, 15 February 2017
Alichokipost Diamond Baada ya Kukamatwa na Polisi.
Published Under
TOP STORIES

Leo nilireport kituo kikuu cha polisi wa usalama barabarani kutokana na Vidoe Clip tuliyopost naendesha gari barabarani bila kufunga mkanda na pia kuachia usukani na kucheza.... Nikapewa Onyo na Kulipa faini kulingana ya Mujibu wa sheria... tafadhali watanzania na Vijana wenzangu... tuhakikishe tunafunga mikanda pindi tupandapo na tuendeshapo Magari Maana ni Hatari kwa Maisha yetu na inaweza...
SHARE!
Eric Omondi airudia muvi ya Adam na Eva wakiwa kwenye bustani ya Eden.
Published Under
VIDEO

Mchekeshaji wa Kenya Eric Omondi amekuwa na utundu wa kuzirudia na kuziigiza movie na nyimbo za mastaa mbalimbali ambapo wakati huu ameirudia sehemu ya movie ya Adam na Eva wakiwa kwenye bustani ya Eden.
...
SHARE!
AGNES MASOGANGE NAYE AKAMATWA NA POLISI AKIHUSISHWA NA SAKATA LA DAWA ZA KULEVYA.
Published Under
TOP STORIES
Habari zilizoenea ni kwamba maarufu kwa sababu ya Umbo lake , anayefahamika kaama Agness Masogange tayari amekamatwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kujihusisha na biashara haramu madawa ya kulevya na tayari yupo kituo kikuu cha polisi ya Central kwa mahojiano ambayo yamedumu kwa saa 10 na bado akishikiliwa kwa uchunguzi na polisi.
Ikimbukwe kuwa Mrembo huyo alishawahi kukamatwa katika uwanja...
SHARE!
(DOWNLOAD)YAMOTO BAND__ KICHECHE (NEW OFFICIAL SONG)
Published Under
AUDIO
Ngoma mpya kutoka kwa yamoto band baada ya kukaa kimya kwa muda.
...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)