HakiAALTONEN JUMBAImageHarusi ya marudio ya Wilson na Anne imeandaliwa katika bustani ya kifahari
Maharusi waliowasisimua wengi baada ya kutumia Sh100 pekee za Kenya kugharimia harusi, wameandaliwa sherehe ya harusi ya kufana jijini Nairobi.
Sherehe hiyo ya marudio imeandaliwa katika bustani ya Eden Bliss, Nairobi ulimwengu ukiandhimisha Siku ya Wapendanao.
Harusi ya Anne na Wilson Mutura ya awali...
Tuesday, 14 February 2017
Maharusi waliotumia dola pekee waandaliwa harusi ya kifahari Kenya
Published Under
TOP STORIES
SHARE!
Breaking news: Hali yazidi kuwa tete kwa YUSUPH MANJI akiwa bado Muhimbili ,Ofisi zake zakaguliwa na polis wa uhamia na kukutwa na jambo hili.
Published Under
TOP STORIES

Hali imezidi kuwa tete kwa mwenyekiti wa klabu ya Yanga YUSUPH MANJI baa da ya kuendelea kukumbwa na kadhia mbalimbali kipindi ikiwemo ya kutajwa katika orodha ya watuhumiwa wa dawa za kulevya hapa nchini.
BOFYA HAPA
Hali ya afya yake ilibadilika ghafla juzi wakati akiendelea na mahojiano na polisi kuhusu tuhuma zinazomkabili hali iliyopelekea kukimbizwa na gari la wagonjwa mpaka...
SHARE!
UBUYU wa chini chini Joti amefunga ndoa !! ?? BOFYA HAPA KUJUA ZAIDI !!
Published Under
TOP STORIES

Nyepesi nyepesi zilizozagaa mtandaoni zikionyeza picha ya mchekeshaji JOTI jina halisi Lukas mhuvile ikimuonyesha akiwa ndani ya suti kali huku pembeni yake kukiwa na mwanamke aliyevalia gauni la harusi, Swali ni Je, Amefunga ndoa ya kimya kimya au ni kiki za msimu tu ???
...
SHARE!
TRUE STORY: INASIKITISHA SANA, USIPITWE NA MKASA HUU WA KUSISIMUA==AMENITENDA HIVI!!
Published Under
SIMULIZI
SOMA STORY FUPI YA MAPENZI YA KUHUZUNISHA YENYE MAFUNZO KWENU HASA HASA WAKINA DADA. NI STORY YA KWELI KABISA
"Nilipoingia katika mahusiano naye nilimuamini, nikampa kila kitu nilichoweza. Nakumbuka enzi zile
nyumbani tulikuwa tuna ng’ombe, niliiba maziwa kila siku na kumpelekea kwao. Akanenepa!! Penzi letu
likawa huru alipoanza maisha yake mwenyewe. Sikuwa najua lolote kuhusu...
SHARE!
Ulinzi waimarishwa Taasisi ya Moyo Muhimbili Ambako Yusuf Manji amelazwa
Published Under
TOP STORIES

Hali ya ulinzi imeimarishwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) alikolazwa mfanyabiashara Yusuf Manji baada ya kuugua ghafla akiwa polisi alikokuwa akihojiwa.
Manji aliyekuwa akihojiwa katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini hapa alipelekwa hospitalini hapo juzi jioni akiwa ndani ya gari la wagonjwa aina ya Toyota Land Cruiser lenye nembo ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia...
SHARE!
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya February 14.
Published Under
MAGAZETINI LEO

...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)