KINGAZI BLOG: 10/07/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Friday, 7 October 2016

Serikali Yachachamaa....Walimu Waliomfanyia Ukatili Mwanafunzi Watimuliwa Chuoni, Mkuu wa Shule Apotezama

S Walimu  wanne wa Chuo Kikuu cha Elimu Dar es Salaam (Duce) na cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere waliohusika kumpiga vibaya mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Mbeya wamefukuzwa chuo huku Jeshi la Polisi mkoani Mbeya likiwashikilia kwa mahojiano walimu wengine watano wa shule hiyo kutokana na tukio hilo. Aidha, serikali imemvua madaraka Mkuu wa shule hiyo, Magreth Haule kwa kutochukua hatua baada...

Rais Magufuli atimiza ahadi yake kwa Balozi Omben Sefue...Amteua kushika nafasi hii

Hatimaye Rais John Magufuli ametimiza ahadi yake kwa aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue baada ya kumteua kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Cha Diplomasia. Balozi Sefue amepata uteuzi huo jana ikiwa ni miezi kumi tangu Rais Magufuli atengue uteuzi wake [kama Katibu Mkuu Kiongozi]kwa sababu ambazo hazikutajwa huku akiahidi kumpangia kazi nyingine na nafasi yake ikajazwa na Balozi John...

Diamond Afunguka Asema Zari Ndiye Model Aliyewahi Kumlipa Hela Nyingi.

Mkali wa wimbo ‘Salome’ na Mkurugenzi wa WCB, Diamond Platnumz amesema katika ma Model ambao amewahi kuwalipa hela nyingi ni Zari ambaye ni mpenzi wake na Mama watoto wake pia. Diamond Platnumz akiongea katika kipindi cha The play list cha Radio Times Fm na mtangazaji Lil Ommy baada ya kuulizwa ni model gani amewahi kumlipa hela nyingi. “Zari ndo mtu ni mlipa hela nyingi katika video ya “Utanipenda”...

Rais Magufuli Atishia kumfukuza kazi mtoto wa dada yake

Rais Dkt John Pombe Magufuli ametishia kufukuza kazi mtoto wa dada yake kutokana na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kutopeleka umeme katika kiwanda kipya cha kusindika matunda cha Bakhresa. Rais Magufuli alisema jana alipokuwa akifungua rasmi kiwanda cha kusindika matunda cha Bakhresa kilichopo Mwandege, Mkuranga mkoani Pwani. Wakati wa hafla hiyo ya ufunguzi, kiongozi mmoja wa kiwanda hicho...

VIDEO: Maamuzi ya serikali baada ya kuona ile video walimu wakimpiga mwanafunzi

Moja ya headline iliyochukua nafasi katika baadhi ya mitandao ya kijamii ni pamoja na tukio linaloonyesha mwanafunzi wa shule ya sekondari Mbeya Day akipigwa na baadhi ya walimu huku wakimchangia kwa pamoja, tumeona baadhi ya viongozi wa kiserikali wakitumia nafasi hiyo pia kulaani tukio hilo. October 6 2016 Mkuu wa mkoa wa Mbeya Amos Makala amezungumza na waandishi wa habari...

HAYA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE YA MWALIMU ALIEPIGA MWANAFUNZI MBEYA,PAMOJA NA MATOKEO YA FORM TWO MWANAFUNZI ALIEPIGWA

mwalimu Frank Msigwa MATOKEO YAKE MATOKEO YA MWANAFUNZI ALIEPIGWA ...
 

Gallery

Popular Posts

About Us