KINGAZI BLOG: 04/13/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Thursday, 13 April 2017

MPYA: Hii hapa Orodha ya majina ya Walimu wa Sayansi na vituo vya kazi walivyopangiwa

Serikali kupitia Ofisi ya Rais TAMISEMI imetangaza ajira mpya kwa Walimu wa masomo ya Hisabati na Sayansi leo tarehe 12 Aprili, 2017. Majina ya Walimu yaliyotangazwa yanatokana na tangazo la nafasi ya kazi ya Ualimu lililotolewa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia mnamo tarehe 01 Desemba, 2016.   Jumla ya Walimu wapya wapatao 3,081 wakiwemo 1,544 ni wa ngazi ya Shahada na Walimu 1,537...

Uliipata hii ya Mwana FA kupigiwa simu na Rais Magufuli

Rais Dkt John Magufuli ni shabiki wa muziki wa Mwana FA. Na ndio maana ameamua kunyanyua waya na kumpigia simu rapper huyo kumwambia kuwa ni msikilizaji mzuri wa ngoma zake. Cha kuvutia zaidi, Rais amemweleza FA kuwa wimbo anaoupenda ni Dume Suruali aliomshirikisha Vanessa Mdee. “Nimefurahi kupokea simu ya Mheshimiwa Rais @MagufuliJP kunisalimia na kuniambia yeye ni mpenzi wa kazi zangu,haswa #DumeSuruali,”...

Bashe Awavuruga Vigogo CCM..Wahaha Kumzima HarakaHaraka..Habari Vichwa vya Magazeti ya Leo 13/4/2017..!!!

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us