KINGAZI BLOG: 11/15/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Tuesday, 15 November 2016

SERIKALI YAREKEBISHA TENA MFUMO HUU WA ELIMU

Waziri wa Elimu, Profesa Joyce Ndalichako.  Dar es Salaam.Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais John Magufuli imeendelea kuufumua mfumo wa elimu uliopigiwa kelele na wadau wakati wa Serikali iliyopita kwamba unashusha ubora wa elimu baada ya Alhamisi iliyopita kutoa waraka mpya unaobatilisha programu za mafunzo ya ualimu. Mabadiliko mengine ya elimu yaliyofanyika katika Serikali ya Awamu...

Bodi ya Mikopo(HESLB) Yatangaza majina ya wadaiwa sugu kuanzia mwaka 1994 hadi 2014....Bofya Hapa Kuyaona

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inatangaza orodha ya majina ya Wadaiwa Sugu ambao wamehitimu katika Vyuo mbalimbali vya Elimu ya Juu kuanzia mwaka wa masomo 1994/1995.  Wasugu hao wanapewa siku 30 kulipa madeni yao ndani ya muda huo kabla hatua za kisheria hazijachukuliwa na wahusika kulazimika kulipia gharama za kuwasaka na kuendesha kesi. Kwa mawasiliano zaidi piga 0763 459 165...

Taarifa Rasmi Ya Maafa ya Tetemeko la Kagera Kutoka Ofisi Ya Waziri Mkuu

...

Orodha ya vyuo 26 vilivyofutiwa usajili na NACTE leo tar 15 November

Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limevifungia vyuo vya ufundi 26 kutokana na makosa mbalimbali, ikiwamo kushindwa kuzingatia masharti yaliyowekwa katika cheti cha usajili wa vyuo hivyo, huku likisimamsisha utoaji wa programu zilizokuwa zikitolewa katika vyuo 20 ambazo hazijasajiliwa. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam, Kaimu Katibu mtendaji wa NACTE, Dkt. Adolf Rutayuga,...

MAAJABU:VIDEO HII HAPA HEBU JIONEE MTOTO ALIYEZALIWA AKIWA NA MKIA WA SAMAKI

Read:VIDEO:Cheki hii video namna huyu mrembo anavyocheza mziki ,ni hatari sana That’s the simple math. You also want to look at whether you’re lengthening the time it will take to pay off your home and how much principal and interest you will have paid at the end of the break-even period or by the time you sell the house. Even a “no-cost” loan has costs, though the lender fees may be replaced...

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne ya Novemba 15

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us