Aliyekuwa kiongozi wa Jumuiya ya Freemason Tanzania na Afrika Mashariki, Sir Jayantilal Keshavji 'Andy' Chande afariki Dunia.Sir Andy amekuwa mwanachama wa Freemasons kwa takribani miongo 6 tangu ajiunge.Alizaliwa Mombasa, Kenya Mei 7 1928 ingawa wazazi wake walikuwa wakiishi Bukene Mjini, Mkoani Tabora (Tanzania).- Historia yake zaidi, tazama video hii;
-----------Sir Andy Chande akiwa na watu...
Thursday, 6 April 2017
TANZIA: Aliyekuwa Kiongozi wa Freemasons Tanzania, Sir Andy Chande afariki dunia
Published Under
KITAIFA
SHARE!
Kimenuka!!!...Spika wa Bunge ameliagiza Jeshi la Polisi kumkamata na kumfikisha Bungeni Mbunge wa Kawe (CHADEMA) Halima Mdee kujibu tuhuma.
Published Under
KITAIFA

Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameliagiza Jeshi la Polisi kumkamata na kumfikisha Bungeni Mbunge wa Kawe (CHADEMA) Halima Mdee kujibu tuhuma za kutoa lugha za matusi kwa Spika wakati wa uchaguzi wa Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki uliofanyika April 4, 2017.
Pia Mbunge Freeman Mbowe ameagizwa na Spika Ndugai kufika mbele ya Kamati ya Maadili leo akituhumiwa...
SHARE!
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya April 6
Published Under
MAGAZETINI LEO

...
SHARE!
WEMA AMFUNGUKIA HARMORAPA KUHUSU ISHU YA KUMUOA!!!!!!
Published Under
TOP STORIES

MSANII wa filamu nchini Wema Sepetu, ‘Madam’, ambaye hivi karibuni alihamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amefunguka baada ya Msanii wa Bongo Fleva, Harmorapa kujinadi mtandaoni kuwa yupo tayari kumuoa Wema.
Wema Sepetu
Wema amefunguka na kuandika kuwa anamheshimu Harmorapa kama msanii mwenzie hivyo kitendo cha kujinadi mtandaoni kuwa yupo tayari kuwa...
SHARE!
VIDEO: "Spika Unaleta Ufala"-- HALIMA MDEE
Published Under
KITAIFA

Nadhan hapa tunapasa kuweka itikadi zetu za vyama ,dini na kabila pembeni. kuna kipindi tunapaswa kusimama kama watanzania tukaweka mambo mengine yote mifukoni mwetu tukabaki na utanzania.Tanzania ya sasa si tanzania ya jana...inabadilika inakuja na mambo leo ambayo mengine si mazuri. Nimemsikia mbunge mmoja akiongea lugha ya ajabu sana bungeni ambayo sitegemei mbunge msomi na ampambanaji ongee...
SHARE!
USIPITWE NA HII !! Yule jamaa Aliyemuua Mpenzi Wake na Kumweka Kwenye Jaba la Maji amekamatwa .....kamanda Sirro athibitisha.
Published Under
KITAIFA

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema limemkamata mtuhumiwa Musuguri David (29) anayedaiwa kumuua mpenzi wake Samira Masoud (34) kwa kumchinja kisha mwili wake kuwekwa katika jaba la maji kisa wivu wa mapenzi maeneo ya Kibamba.
Akizungumza na wanahabari jijini Dar, Kamanda wa Polisi Kamishna Simon Sirro amesema katika mahojiano na mtuhumiwa huyo,...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)