KINGAZI BLOG: 03/23/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Thursday, 23 March 2017

POLISI WAZUIA MKUTANO WA NAPE NA WAANDISHI WA HABARI....ALAZIMIKA KUONGEA AKIWA KWENYE GARI LAKE

Aliyekuwa Waziri wa Habari,  Nape Nnauye amezungumza na Waandishi wa habari akiwa juu ya gari lake leo maeneo ya St. Peter Osterbay Dar es salaam  ikiwa ni saa chache kabla ya taarifa kutoka IKULU kutangaza kwamba uteuzi wake umetenguliwa. Hali hiyo imetokana na Jeshi la Polisi kuuzuia mkutano huo ambapo RPC Kinondoni alifunga barabara kwa gari kuzuia Gari ya Nape huku akiwataka waandishi...

Kauli ya kwanza Ya Nape Nnauye Baada ya kutumbuliwa ...na pia kuhusu taarifa kukamatwa kwake.

Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli leo kutengua uteuzi wa Waziri  wa Habari, Sanaa, Utamaduni na michezo, Nape Nnauye....Mbunge huyo yupo hotel ya Protea tayari kwa kuongea na waandishi habari kuhusu kutumbuliwa. Akiwa njian kuelekea Protea, silisambaa habari kwamba amekatwa. Taarifa hizo amezikanusha kupitia mtandao wa twitter na kudai yuko salama Wanasambaza...

Breaking News!!! Rais Magufuli afanya Mabadiliko baraza la mawaziri, Nape Nauye aondolewa Soma zaidi hapa

Rais Magufuli Leo march 23 Ametengua uteuzi wa Waziri wa Habari, utamaduni na Michezo Mh.Nape Nnauye na nafasi yake kupewa Dkt. Harrison Mwakyembe aliyekuwa Waziri wakatiba na Sheria SOMA HAPA CHINI ...

SMS Za Nguvu Za Kutumia Baada Ya Kupewa Namba Na Mwanamke

  Tangu tuweke chapisho ambalo linagusia swala la mbinu tofauti tofauti za kuomba namba ya simu ya mwanamke, tumekabiliwa na janga jingine ambalo baadhi wa readers humu ndani wamekuwa wakituandama katika inbox na maswali ya kurudia rudia ya 'Jinsi ya kuufunga mchezo baada ya kupewa namba na mwanamke' Tumekuwa tukiwajibu baadhi ya readers wetu na tumeamua kuweka wazi mbinu rahisi ambayo...

Isome hapa ripoti nzima ya kamati iliyochunguza sakata la RC Makonda kuvamia Clouds media.

Kamati iliyoundwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye kuchunguza sakata la kuvamiwa kwa Ofisi za Clouds Media Group, mchana wa leo imekabidhi ripoti hiyo kwa waziri huyo huku ikisoma mbele ya waandishi wa habari kile walichokipata katika uchunguzi waliofanya. Mmoja wa wanakamati hao akisoma ripoti hiyo katika ukumbi wa Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam alisema kuwa, kamati hiyo iliundwa ili kuchunguza sakata hilo na kuzisikiliza pande zote mbili kuhusu nini hasa kilitokea usiku wa Machi 17 katika ofisi za kituo hicho. Kamati imeeleza kuwa baada ya kusikiliza upande wa Clouds Media Group kama alivyoeleza...

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya March 23

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us