KINGAZI BLOG: 04/11/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Tuesday, 11 April 2017

Picha za Mrembo maarufu wa Kenya Anayeozea Gerezani Ghana Baada ya Kunaswa na Madawa ya Kulevya

Huyu dada anaitwa Pesh, ni mrembo maarufu sana Kenya lakini hivi sasa anaozea Gerezani Kenya.Huyu dada inadaiwa alikuwa na mpnz wake aliyekuwa anaishi Ghana ambaye ndie aliyemuingiza kwenye hii biashara. ==>Safisha macho kw picha zake hapo chini tangaz...

Roma:Hii Sio Kiki, Tumeteswa Jamani..!!!

NYOTA wa miondoko ya Hip Hop nchini, Roma Mkatoliki amejitokeza hadharani na kusema kuwa, kilichowakumba kwa kutekwa na watu wasiojulikana si kitendo cha kusaka kiki ama limetengenezwa kisiasa, bali ni la kweli na wameteswa. Roma aliyetekwa pamoja na wenzake wawili katika studio za Tongwe Records, aliyasema hayo katika mkutano wake na wanahabari ambao ulihudhuriwa pia na Waziri wa Habari, Utamaduni,...

A-Z ya Mkasa mzima!!!.. Roma Asimulia Ilivyokuwa Baada ya Kutekwa..!!! SOMA HAPA

Hatimaye rapper Roma amesimulia mkasa wa kutekwa akiwa na wenzake watatu kuanzia Jumatano iliyopita hadi Ijumaa. Tumekuandikia kile alichosimulia. Wakati naendelea na shughuli zangu, walifika watu ambao sikuweza kuwafahamu mbaya zaidi walikuwa na silaha za moto na amri yao ya kwanza ilikuwa ni ingia ndani ya gari. Baada ya kuingia tu ndani ya gari, nakumbuka wale watu walitufunga usoni na vitambaa...

Ukweli Kuhusu Kutekwa kwa Roma Huu Hapa... Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya April 11

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us