KINGAZI BLOG: 11/29/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Tuesday, 29 November 2016

Magazeti ya Leo Jumanne ya Novemba 29

...

Kiuno changu ndicho kinachoniweka Mjini – Gigy Money

Video queen ambaye haishiwi vituko, Gigy Money amefunguka kwa kusema kuwa mauno yake ya mwendokasi ndio kitu ambacho kinawafanya wasanii wengi wamtafute kwa ajili ya kufanya naye kazi. Mrembo huyo ambaye pia ni mtangazaji wa Choice FM, amesema kuwa video queen ni kazi ambayo inalipa tofauti na watu wanavyofikia. “Unajua kazi yoyote ukiiheshimu ni rahisi nayo ikakuheshimu,” alisema Gigy Money. “Mimi...

Maprofesa wampinga na kumkosoa Ndalichako

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako Na ABRAHAM GWANDU-Arusha WASOMI, wadau wa elimu na wananchi wa kawaida wamekosoa tamko la Waziri  wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako, wakisema kwamba halijafanyiwa utafiti na halitekelezeki kisheria. Mwishoni mwa wiki, akiwa kwenye mahafali ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), Profesa Ndalichako alisema...

Masharti Ya Kumtext Mwanamke - Makosa 5 Wanaume Wanayofanya

Kila siku mara moja au nyingine huwa tunawatext wanawake. Aidha wawe ni wapenzi wetu, tunaowatongoza ama marafiki zetu. Na kila siku huwa tunapatwa na changamoto mbalimbali kutokana na matangamano yetu. So huwa kunakosekana nini? Ifuatayo ni orodha ya mambo 5 makuu ambayo wanaume wengi hukosea wakati wanapomtext mwanamke, na jinsi ya kutatua. #1 kukata tamaa mapema kwa mwanamke Kosa kuu ambalo wanaume...

Chanjo Dhidi ya Ukimwi Kufanyiwa Majaribio Afrika Kusini

Chanjo mpya dhidi ya virusi vinavyosababisha Ukimwi itaanza kufanyiwa majaribio nchini Afrika Kusini Jumatano wiki hii. Wanasayansi wanasema huenda ikawezesha binadamu kukabiliana na virusi hivyo iwapo itafanikiwa, shirika la habari la AP linasema. Wakati wa majaribio hayo, ambayo yamepewa jina HVTN 702, wanasayansi wanatarajiwa kuwatumia wanaume na wanawake 5,400 ambao wanashiriki ngono kutoka...

VIDEO :KAULI YA NDALICHAKO KUHUSU WANAFUNZI WASIOFIKA FORM SIX KUTOJIUNGA NA CHUO KIKUU

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imekanusha taarifa zilizoenea kwamba Waziri wa Elimu Prof. Ndalichako amezuia Wanafunzi wenye Stashahada (Diploma) kujiunga na masomo ya Shahada (Degree) katika vyuo vikuu. Taarifa kamili inapatikana kwenye hii video hapa chini…. TOA MAONI/COMMENT  YAKO HAPA CHINI ...

John Legend - I Know Better (Audio)

DOWNLO...
 

Gallery

Popular Posts

About Us