
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako
Na ABRAHAM GWANDU-Arusha
WASOMI, wadau wa elimu na wananchi wa kawaida wamekosoa tamko la Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako, wakisema kwamba halijafanyiwa utafiti na halitekelezeki kisheria.
Mwishoni mwa wiki, akiwa kwenye mahafali ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), Profesa Ndalichako alisema...