KINGAZI BLOG: 01/15/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Sunday, 15 January 2017

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Pili 2016/17

Baraza la Mitihani nchini – NECTA limetoa matokeo ya mitihani ya upimaji kwa wanafunzi wa darasa la nne kwa shule zote za msingi nchini pamoja na ule wa kidato cha pili kwa wanafunzi wa shule za sekondari yanayoonesha ufaulu kuongezeka kwa 1.9%. Katibu Mtendaji wa Baraza lza Mitihani nchini Dkt Charles Msonde ndiye aliyetoa taarifa hiyo leo jijini Dar es Salaam ambapo katika hali isiyo ya kawaida,...
 

Gallery

Popular Posts

About Us