KINGAZI BLOG: 02/01/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Wednesday, 1 February 2017

Huyu hapa Kinara wa Kidato cha Nne Nchini Afichua Siri ya Kufanya Vizuri,Adai ni Mungu na Wazazi Tu..!!!

Mwanafunzi wa kwanza katika matokeo ya kidato cha nne nchini kutoka shule ya Sekondari ya Feza Boys jijini Dar es Salaam, Alfred H. Shauri (katikati) akielelzea siri ya mafanikio yake kwa wanahabari. MWANAFUNZI wa kwanza kitaifa katika matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2016, Alfred H. Shauri, ameeleza siri ya mafaniko yake kuwa ilitokana na kusoma kwa bidii na kumtanguliza Mungu katika...
 

Gallery

Popular Posts

About Us