KINGAZI BLOG: 12/03/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday, 3 December 2016

Lema Aiaga Rasmi Familia Yake .....Awataka Mawakili Wake Wasihangaike Tena, Asema Yupo Tayari Kukaa Gerezani Hadi Dola Itakapoamua

Baada ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kukwama tena kupata dhamana mahakamani jana, amewataka mawakili wake kutomhangaikia na kuliacha suala hilo kama lilivyo na atakaa gerezani hadi Januari mwakani.  Akizungumza baada ya Mahakama Kuu kuondoa rufaa ya mbunge huyo aliyekuwa akipinga uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kumnyima dhamana, Wakili wa Lema, John Malya alisema mteja wake...

Msafara mkubwa wa ndege za ajabu watua nchini

Msafara unaovutia macho ya watu wengi duniani wa ndege za zamani, ambao umeanzia nchini Ugiriki na kumalizikia nchini Afrika Kusini umewasili nchini katika uwanja wa ndege wa Abeid Amani Karume kisiwani Zanzibar. Msafara huo unahusisha ndege zenye umri wa zaidi ya miaka tisini huku Tanzania ikiwa ni moja kati ya nchi nane za Afrika ambako msafara huo unapitia. Mkurugenzi wa Masoko wa Kamisheni...

Habari kuu katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya Disemba 3

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us