KINGAZI BLOG: 01/17/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Tuesday, 17 January 2017

Mbeya: Maiti Iliyozikwa Yakutwa Kwenye Godoro Chumbani

Wakazi wa Isanga Jijini Mbeya wamekumbwa na taharuki baada ya tukio lisilo la kawaida ambapo maiti iliyokwenda kuzikwa katika makaburi ya zamani ya Isanga ilikutwa ikiwa kwenye godoro ndani ya nyumba alimofia.Taarifa yaJeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya inasema kuwa tukio lilitokea mnamo tarehe 16.01.2017 majira ya saa 4:30 asubuhi katika mtaa wa Igoma “A”, Kata ya Isanga, Jijini Mbeya.Kufuatia taarifa...

KAMA UNATATIZO LA KUNUKA MDOMO TIBA NI HII HAPA.

Afya ya mtu huanzia kwenye harufu ya mwili wake. Hakuna harufu inayoonyesha jinsi gani ulivyo msafi kama harufu ya kinywa. Je ulishawahi kuongea na mtu na ghafla ukajikuta unakosa hamu ya kuendelea sababu kinywa kinatoa harufu mbaya? Nafahamu kero hii inavyokuwa. Kinywa ni muhimu kufanyiwa usafi wa hali ya juu ili kuhakikisha unapunguza harufu mbaya ya kukinaisha. Harufu ya kinywa, inakera...

KAMA UNA MATATIZO YA MENO TIBA RAHISI NI HII HAPA

Meno ni muunganiko wa mfupa wa jino, Fizi na Mishipa. Maranyingi watu wengi huwa pale wanapoumwa na jino wanakimbilia kung’oa jino eti dawa ya jino kuling’oa jambo ambalo si kweli. Tambua ndugu yangu kuwa unapokwenda kung’oa jino unang’oa Mfupa sio Fizi wala mishipa ambayo hakuna madhara kwa bakteria anaesababisha jino kuuma. Tambua kuwa kwenye kinywa cha mwanadamu kuna bakteria wanaoishi mdomoni...

HUYU HAPA HARMONIZE NA WOLPER FEKI PICHAZ++

Msanii chipukizi wa Bongo Fleva anayefanana sana kwa sura na msanii kutoka WCB, Harmonize kiasi cha kubatizwa jina la ‘Pacha wa Harmonize’, Harmorapa, leo ametinga kwenye Ofisi za Global Publishers, Bamaga- Mwenge jijini Dar ambapo mbali na mambo mengine, amefungukia uhusiano wake wa kimapenzi na ‘Wolper’. Harmorapa amesema kuwa kutokana na kufanana sana na Harmonize, aliamua kutafuta msichana anayefanana...

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne ya January 17

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us