KINGAZI BLOG: 09/04/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Sunday, 4 September 2016

TRA yakusanya trilion 1.158 kwa mwezi Agosti na kuvuka lengo, Kariakoo kuwa mkoa maalum wa kodi

KATIKA harakati za kuhakikisha kuwa Mapato yote stahiki yanakusanywa ipasavyo na kwa Wakati, Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA imejiwekea mikakati mbalimbali ya kuongeza wigo wa vyanzo vya Mapato pamoja na kukusanya Mapato kikamilifu. Mikakati hiyo ni kama ifuatavyo; Kulifanya eneo la Kariakoo kuwa Mkoa Maalumu wa Kodi kutokana na eneo hilo kuwa kitovu cha biashara hapa nchini na kuhakikisha kila...

TAJIRI ANUNUA NDEGE YA BOING 747 JUMBO NA KUIGEUZA NYUMBA YA LODGE

Ndani ya ndege hii "nyumba ya kulala wageni" kuna vyumba 27, unapata utandawazi, vumba vina luninga, imesha aanza kuchukwa wageni wa kulala na ipo karibu na uwanja wa ndege wa  Arlanda airport karibu na mji wa Stockholm, Sweden Hii ni sehemu iliyokuwa ya rubani wa ndege hiyo unaweza kulala hapa kuanzia  £170 kwa usiku mmoja..NA JESTINA GEORGE Nyumba hiyo ya wageni ambayo sasa...

HIZI HAPA DALILI NANE (8) ZA MWANAMKE ANAYETOKA NJE YA NDOA

Wataalamu wa maswala ya mahusiano wanaamini kwamba, mwanamke anapotoka nje ya ndoa yake, inakuwa rahisi sana kubainika au kufumaniwa kuliko ilivyo kwa mwanaume.  Hii inatokana na ukweli kwamba, hisia zinakuwa na nafasi kubwa sana kwa mwanamke, kwani mwanamke huishi kwa hisia zaidi kuliko mwanaume. Bado nasisitiza kwamba, haipaswi na siyo sahihi mtu kuchukulia dalili hizi kama ushahidi wa mpenzi...

Picha 3:JAMAA AAMUA KUCHINJA MBWA NA KUWAUZIA WATU KAMA NYAMA..... HEBU JIONEE HAPA

...

TOP TEN YA WASANII WAKIUME WANAOWAVUTIA ZAIDI WANAWAKE WAWAPO JUKWAANI

01: DIAMOND PLATNUMZ Jina lake kamili ni Nassib Abdul, huyu wengi wamempachika jina la sukari ya warembo, idadi kubwa ya wanawake wanampenda kutokana na mwonekano wake na pia uwezo wake mkubwa wa kucheza na sauti anapoimba ingawa wengi hudai hana sauti nzuri lakini huvutiwa na namna anavyoweza kuitumia sauti hiyo na kuwa kivutio katika nyimbo zake. Maonyesho yake hujaza watu wengi lakini inakadiriwa...

Chama cha Wananchi CUF chamtaka Rais Magufuli aache kutumia madaraka vibaya

Chama cha Wananchi CUF chamtaka Rais Magufuli aache kutumia madaraka vibaya na kumwambia stahiki anazopewa Maalim Seif zipo kisheria. Wamesema Kitendo cha Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar kushiriki mkutano wa CCM ni ushahidi tosha kuwa tume ya uchaguzi si chombo kilicho hur...

MAMA ADAI WATOTO WAKE WANAZUNGUMZA NA WATU WALIOKUFA...

Billington (kulia) akiwa na watoto wake. Kutoka kushoto ni Lucy, Jadon na Hellen, ambaye yeye hakujaliwa uwezo walionao wadogo zake. Wazazi wengi hupenda kujisifu kuhusu vipaji vya watoto wao, lakini unaweza kufikiri Pam Billington angebaki na uwezo wa kipekee wa familia yake mwenyewe. Mama huyo mwenye umri wa miaka 38 anavutiwa watoto wake wawili wadogo Jadon mwenye miaka 10, na Lucy mwenye miaka...

ANGALIA PICHA ZA NG’OMBE WA AJABU AZALIWA NEW ZEALAND,ANA MIGUU 8,MASIKIO 4,MIILI 2 NA KICHWA KIMOJA..

  Ndama wa ajabu amezaliwa nchini New Zealand akiwa na miguu 8,masikio 4, miilimiwili,masikiomanne   Mmiliki wa ndama huyo, Neil Davy,ambaye amemshika ndama huyo aliyekufa kwenye picha aliuambia mtandao wa NZ wa nchini humo kuwa kama yeye asingekuwepo wakati ndama huyo akizaliwa basi ng’ombe aliyemzaa ndama huyo naye angekufa kwani alihangaika sana wakati akizaa. ‘Ilikuwa ni vigumu kumuangalia...
 

Gallery

Popular Posts

About Us