Taarifa kwa waombaji wote wa nafasi za chuo, bodi ya vyuo vikuu TCU imetoa vigezo vipya vya alama zitakazomuwezesha mwombaji kujiunga na elimu ya chuo kikuu, awali ilikuwa ni GPA ya 3. 5 lakini imepungua hadi kufikia GPA ya 3. 0 ili kuwawezesha watu wengi zaidi kuapply na kupata nafasi ya kujiendeleza.
Thursday, 15 September 2016
TCU YALEGEZA VIGEZO VYA KUJIUNGA NA ELIMU YA CHUO KIKUU KWA WALIOSOMA DIPLOMA KUTOKA ALAMA ZA GPA YA 3. 5 HADI GPA YA 3.0 SOMA ZAIDI HAPO CHINI👇👇👇👇
Published Under
KITAIFA
About Author
BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi
- Next HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI FORM 6 WALIOCHAGULIWA MARIAN UNIVERSITY 2016/2017-FIRST BATCH
- Previous BREAKING NEWS:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI(FORM SIX) WALIOCHAGULIWA KAMPALA UNIVERSITY-KIU 2016/2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
POST A COMMENT