Juzi wanafunzi 32 wa darasa la saba, walimu 2 na dereva wa gari la shule ya msingi iitwayo Lucky Vicent ya Arusha walifariki dunia majira ya saa 3 asubuhi baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupata ajali katika eneo Rhotia Marera, Wilaya ya Karatu Mkoani Arusha.
Monday, 8 May 2017
Picha za wanafunzi 32 waliofafiki katikia ajali Arusha
Published Under
KITAIFA
About Author
BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi
- Next Mtoto wa Shule aliyefariki Arusha alinusurika bomu 2013
- Previous TOP STORIES ON TANZANIA NEWSPAPER TODAY MAY 8,2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
POST A COMMENT