KINGAZI BLOG: February 2017

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Tuesday, 28 February 2017

CHEBENAKO a.k.a ( Midondoko Sokomoko) Song__WAUZA MADAWA

...

Hii ndiyo jamii ambayo Anayekamatwa kwa Uchawi, Huliwa Nyama Yake huko Guinea

>>>> HUYU APA MMOJA WAO AKIWA ANALIWA NYAMA <<< WAKATI ulaji wa nyama za watu ukitajwa kuwa hufanywa kutokana na matambiko maalum ya baadhi ya makabila nchini Papua New Guinea, kuna wengine wanasema ulaji upo kwa ajili ya dawa. Wapo wanaopinga kutokana na ukweli kwamba kuna wakati Wazungu saba waliliwa kwa mpigo kama tutakavyoona katika matoleo yajayo ya makala haya...

Monday, 27 February 2017

Wachawi wa Nchini Marekani Waapa Kumroga Donald Trump Atoke Madarakani

Wapinzani wengi wa rais wa Marekani Donald Trump, wanaamini kuwa itawabidi wasubiri kwa miaka minne ili aweze kuondoka madarakani. Lakini wachawi nchini Marekani hawakubaliani na hilo. Usiku wa manane siku ya Ijumaa, wale wanaoamini uchawi kote nchini Marekani, waliandaa matambiko yenye nia ya kumuondoa Trump uongozini. Hadi sasa ukurasa wa Facebook wa matambiko huyo umepata wafuasi 10,500. Hatua...

Kamanda Sirro: Nasumbuliwa Sana na Wanawake Usiku

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Kamishna Simon Sirro, amesema miongoni mwa changamoto anazokutana nazo ni pamoja kupigiwa simu za vishawishi na wanawake hasa usiku wa manane, wakidhani anapata pesa nyingi kwenye kazi yake. Kamishna Sirro afichua siri hiyo hivi karibuni akiwa kwenye kipindi cha East Africa Breakfast, ambapo amesema pamoja na changamoto hizo, anajitahidi kukabiliana...

Diamond Platnumz Apata Dili Jingine la Mamilioni

Mwanamuziki Diamond Platnumz amezidi kufanya vizuri katika tasnia ya muziki barani Afrika na nje ya Afrika ikiwa ni pamoja na kushirikiana na wasanii wengi wakubwa wanaozidi kumuongezea mashabiki katika mataifa mbalimbali. Hivi karibuni Diamond alipotoa video ya wimbo wa Marry You alimshirikisha mwanamuziki Ne-Yo kutoka nchini Marekani aliuweka katika akaunti yake mpya ya Youtube ambayo ipo chini...

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya February 27

...

Sunday, 26 February 2017

Taarifa Muhimu: TCU yatolea ufafanuzi uhakiki wa wanafunzi wasiokuwa na Sifa Vyuoni

Tume ya Vyuo  Vikuu  Tanzania (TCU)  inapenda kuuarifu umma kuwa, uhakiki wa ubora wa wanafunzi wa elimu ya juu hufanyika kwa mujibu  wa Kifungu  5(1)(b)(c)  cha Sheria ya Vyuo Vikuu Sura ya 346 ya Sheria za Tanzania.   Katika kutekeleza jukumu hili Tume ilianza zoezi la uhakiki kuanzia mwezi Agosti 2016. Hadi kufikia Februari 2017 zoezi hilo lilikuwa limekamilika...

Je, ulikuwa ukiyajua haya kabla??

UMEWAHI ONA HII... 💞chumvi ikizidi kwenye wali weka kiazi mviringo katikati kikiwa kimemenywa chumvi itapungua. 💞kama choo chako, kina harufu, ya mkojo na huna dawa washa kiberiti chooni harufu itakwisha 💞chukua ganda la limao lichome na vipisi vya karafuu weka kila pembe ya chumba mbu utawasikia kwa jirani 💞kutoa harufu kwenye wali uliongua weka kipande cha mkaa harufu ya kuungua itakata 💞km umepika mchuzi upo maji maji yaani mwepesi labda maji yamezidi chukua kiazi kikune na cha kukunia nyanya weka chuzi litakuwa rost 💞kuivisha maharage faster chukua maji yalochemka tia maharage weka kwenye chupa ya chai funga kesho...

Mađãda poa Dar waanza kushughulikiwa

MKUU wa wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam, Ali Hapi, ametoa onyo kwa wamiliki wa baa wanaowahifadhi watu wanaojihusisha na biashara ya ngono ‘Machangudoa’ kuwa watafutiwa leseni. Ametoa agizo hilo baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa wananchi wa kata ya Kijitonyama waliodai kuwa kuna baadhi ya baa zimekuwa zikiwahifadhi wanaouza miili, hali ambayo ni hatari kwa mazingira na makuzi ya watoto. Hapi...

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI YA TAREHE 26 / 2 / 2017

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us