Mama Salma akiingia Bungeni.
DODOMA: Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, leo amemwapisha kuwa Mbunge wa Kuteuliwa, Mh. Salma Kikwete, ambaye ni mke wa rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete.
Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete (katikati) akiwa Bungeni.
Mbunge huyo aliandamana na mumewe ambaye alisababisha kelele za shamra kutoka kwa wabunge waliokuwa wakisema: “Tumekumiss…Tumekumiss…”
Ujumbe wa Rais Mstaafu J. Kikwete mtandaoni.
KILICHOJIRI BUNGENI LEO
0 comments:
POST A COMMENT